Sunday, 23 September 2018
FASIHI ANDISHI
Fasihi andishi ni sanaa itumiayo
maandishi kufikisha ujumbe kwa
hadhira iliyokusudiwa
Fasihi andishi hugawanyika katika matawi mawili: nathari na ushairi .
Pia fasihi andishi ina tanzu nyingi mbalimbali, hasa hadithi fupi, riwaya ,
tamthiliya , insha, shairi n.k.
Kulingana na mada ya kazi ya kifasihi, inawezekana kutofautisha bunilizi na kazi zinazowakilisha ukweli .
Sifa za fasihi andishi
Ni mali ya mtu binafsi
Hupitishwa kwa njia ya maandishi
Haiwezi kubadilishwa papo kwa papo
Hutumia mbinu za lugha na mbinu za sanaa katika uwasilishaji wake
Huweza kutunzwa kwa muda mrefu.
Dhima za fasihi andishi
Kukuza lugha
Kuburudisha
Kuelimisha
Kuhifadhi kazi ya sanaa katika maandishi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MKATABA WA KUPANGISHA CHUMBA CHA BIASHARA(FREMU)
MKATABA WA KUPANGISHA CHUMBA CHA BIASHARA(FREMU) BAINA YA …………………………………………….. S.L.P ………….., -TANZANIA. Ambaye katika mkataba ...
-
MKATABA WA KUPANGISHA CHUMBA CHA BIASHARA(FREMU) BAINA YA …………………………………………….. S.L.P ………….., -TANZANIA. Ambaye katika mkataba ...
-
Alomofu (kutoka Kiingereza "allomorph") ni msamiati uliotumika kwanza kuelezea mabadiliko ya muundo wa kikemia. Mwaka 1948 Fatih ...
-
TOPIC 1: INTERACTION AMONG THE PEOPLE OF AFRICA Interaction was the way in which people from a given community came into contact with...

No comments:
Post a Comment